WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, March 11, 2020

WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO DKT. PHILIP MPANGO AMEWASILISHA MAPENDEKEZO YA SERIKALI YA MPANGO WA MAENDELEO YA TAIFA NA KIWANGO NA UKOMO WA BAJETI KWA MWAKA 2020/2021 KATIKA MKUTANO WA WABUNGE WOTE ULIOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA MSEKWA JIJINI DODOMA.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akitoa maelezo ya awali kabla ya Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango kuwasilisha Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa na Kiwango na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2020/2021.katikati ni Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa na Dkt. Mpango, tukio hilo limefanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango akiwasilisha Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa na Kiwango na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2020/2021. tukio hilo limefanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo, Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai na Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akitoa maelezo ya awali kabla ya Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango kuwasilisha Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa na Kiwango na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2020/2021.katikati ni Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa na Dkt. Mpango na Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson, tukio hilo limefanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma.

Katibu wa Bunge Ndugu Stephen Kagaigai (mwenye miwani) pamoja na baadhi wa mawaziri na wabunge wakifuatilia uwasilishwaji wa Mapendekezo ya Serikali ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa na Kiwango na Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2020/2021 uliofanywa na Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango. tukio hilo limefanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma

No comments:

Post a Comment