WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Sunday, June 28, 2020

SPIKA AKABIDHI KOMPYUTA 20 SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA KONGWA

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza hafla ya makabidhiano ya Kompyuta 20 alizozitoa kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa kwa ajili ya shule za sekondari za Wilaya hiyo, kushoto ni Mkurugenzi wa Elimu TAMISEMI, Ndugu Julius Nestory na kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Kongwa aliyemaliza muda wake Ndugu White Zuberi.Hafla hiyo imefanyika katika Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa.

Mkurugenzi wa Elimu TAMISEMI, Ndugu Julius Nestory akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya Kompyuta 20 zilizotolewa na Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai kwa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa kwa ajili ya shule za sekondari za Wilaya hiyo, katikati ni Mheshimiwa Spika na kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Kongwa aliyemaliza muda wake Ndugu White Zuberi.Hafla hiyo imefanyika katika Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akikabidhi kompyuta kwa baadhi ya wakuu wa shule za sekondari za Wilaya ya Kongwa katika hafla ambayo ilihudhuriwa pia na baadhi ya viongozi wakiwemo Mkurugenzi wa Elimu TAMISEMI, Ndugu Julius Nestory, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Kongwa aliyemaliza muda wake Ndugu White Zuberi na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Dkt. Omary Nkulo

No comments:

Post a Comment