WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, July 7, 2020

WANANCHI WENGI WAVUTIWA NA BANDA LA BUNGE MAONYESHO YA SABASABA

Afisa Mwandamizi wa Bunge Ndg. Louise Mdachi akitoa Elimu kwa wageni mbalimbali waliofika kutembelea Banda la Bunge kwenye Maonyesho ya Sabasaba Jijini Dar Es Salaam hii leo. 

Afisa wa Bunge Ndg. Peter Magati akitoa Elimu kwa wageni mbalimbali waliofika kutembelea Banda la Bunge kwenye Maonyesho ya Sabasaba Jijini Dar Es Salaam hii leo.

Afisa wa Bunge Ndg. Rehema Kipera akitoa Elimu kwa wageni mbalimbali waliofika kutembelea Banda la Bunge kwenye Maonyesho ya Sabasaba Jijini Dar Es Salaam hii leo.

No comments:

Post a Comment