WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI
Monday, November 9, 2020
ZOEZI LA KUWASAJILI WABUNGE WATEULE LIKIENDELEA KATIKA VIWANJA VYA BUNGE JIJINI DODOMA KABLA YA KUANZA KWA MKUTANO WA KWANZA WA BUNGE LA 12.
Mbunge Mteule wa Jimbo la Kogwa, Mhe. Job Ndugai pamoja na Wabunge wengine wakifanyiwa usajili katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma ikiwa ni maandalizi ya Mkutano wa Kwanza wa Bunge la 12 unaoanza kesho tarehe 10 Novemba, 2020
Zoezi la usajili wa Wabunge Wateule likiendelea katika katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma ikiwa ni maandalizi ya Mkutano wa Kwanza wa Bunge la 12 unaoanza tarehe 10 Novemba, 2020.
Zoezi la usajili wa Wabunge Wateule likiendelea katika katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma ikiwa ni maandalizi ya Mkutano wa Kwanza wa Bunge la 12 unaoanza tarehe 10 Novemba, 2020.
Zoezi la usajili wa Wabunge Wateule likiendelea katika katika Viwanja vya Bunge Jijini Dodoma ikiwa ni maandalizi ya Mkutano wa Kwanza wa Bunge la 12 unaoanza tarehe 10 Novemba, 2020.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment