WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Saturday, February 13, 2021

SPIKA WA BUNGE, MHE. JOB NDUGAI AKIWAONGOZA WAHESHIMIWA WABUNGE KUTOA KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MBUNGE WA MUHAMBWE KATIKA VIWANJA VYA BUNGE JIJINI DODOMA

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akiwaongoza Waheshimiwa Wabunge kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe (CCM), Marehemu Injinia Atashasta Nditiye katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Mkoani Kigoma kwa ajili ya mazishi.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza wakati wa shughuli ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe (CCM), Marehemu Injinia Atashasta Nditiye katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Mkoani Kigoma kwa ajili ya mazishi.

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza wakati wa shughuli ya kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe (CCM), Marehemu Injinia Atashasta Nditiye katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma  kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Mkoani Kigoma kwa ajili ya mazishi.

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe (CCM), Marehemu Injinia Atashasta Nditiye katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma kabla ya mwili wake kusafirishwa kwenda Mkoani Kigoma kwa ajili ya mazishi.

Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe (CCM), Marehemu Injinia Atashasta Nditiye katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma

Wapambe wa Bunge wakiwa wamebeba mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe (CCM), Marehemu Injinia Atashasta Nditiye kwa ajili ya Waheshimiwa Wabunge kutoa heshima zao za mwisho katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

Waheshimiwa Wabunge wakitoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe (CCM), Marehemu Injinia Atashasta Nditiye katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

Waheshimiwa Wabunge wakitoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe (CCM), Marehemu Injinia Atashasta Nditiye katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe (CCM), Marehemu Injinia Atashasta Nditiye katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.
 

No comments:

Post a Comment