WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, May 31, 2021

ALYEKUWA KATIBU WA BUNGE ALIPOTEMBELEA BUNGE NA KUKABIDHI OFISI KWA KATIBU MPYA

Aliyekuwa Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kushoto) akabidhi Ofisi kwa Katibu Mpya wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi tukio lililofanyika leo katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma.

Aliyekuwa Katibu wa Bunge, Bw. Stephen Kagaigai ambaye aliteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro pamoja na Katibu Mpya wa Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi walipotambulishwa Bungeni. 

Aliyekuwa Katibu wa Bunge, Bw. Stephen Kagaigai ambaye aliteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro pamoja na Katibu Mpya wa Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi walipotambulishwa Bungeni. 

Aliyekuwa Katibu wa Bunge, Bw. Stephen Kagaigai akizungumza na Menejimenti ya Ofisi ya Bunge mara baada ya kukabidhi Ofisi kwa Katibu Mpya, Bi. Nenelwa Mwihambi Jijini Dodoma.


 

Aliyekuwa Katibu wa Bunge, Bw. Stephen Kagaigai na Katibu Mpya, Bi. Nenelwa Mwihambi katika picha ya pamoja na na Menejimenti ya Ofisi ya Bunge mara baada ya makabidhiano ya Ofisi Jijini Dodoma.

No comments:

Post a Comment