WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, May 31, 2021

SPIKA WA BUNGE MHE. JOB NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA BALOZI WA CHINA NCHINI

Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akizungumza na ugeni kutoka Ubalozi wa China nchini (kushoto kwake) ukiongozwa na Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Wang Ke (wa kwanza kushoto kwake) walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kulia kwake ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt.Tulia Ackson


Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Wang Ke alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. 

Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati) katika picha ya pamoja na Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Wang Ke (kulia) na Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. 

 

No comments:

Post a Comment