WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, May 7, 2021

KAMATI YA ARDHI, MALIASILI NA UTALII PAMOJA NA KAMATI YA UTAWALA NA SERIKALI ZA MITAA YAPOKEA TAARIFA

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi yawasilisha taaarifa ya utekelezaji wa programu ya Kupanga, Kupima na Kumilikisha Ardhi na Miradi ya Nyumba zinazojengwa na Halmashauri mbalimbali nchini kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na utalii pamoja na Kamati ya Utawala na Serikali za Mitaa leo tarehe 7 Mei katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii pamoja na Kamati ya Utawala na Serikali za Mitaa yapokea taarifa ya utekelezaji wa programu ya Kupanga, Kupima na Kumilikisha Ardhi na Miradi ya Nyumba zinazojengwa na Halmashauri mbalimbali nchini leo tarehe 7 Mei katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.

 

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi yawasilisha taaarifa ya utekelezaji wa programu ya Kupanga, Kupima na Kumilikisha Ardhi na Miradi ya Nyumba zinazojengwa na Halmashauri mbalimbali nchini kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na utalii pamoja na Kamati ya Utawala na Serikali za Mitaa leo tarehe 7 Mei katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma.


No comments:

Post a Comment