WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, May 19, 2021

KATIBU MPYA WA BUNGE, BI. NENELWA MWIHAMBI AAPISHWA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Bi. Nenelwa Mwihambi kuwa Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Katibu wa Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi akiapa kiapo cha Maadili ya Utumishi wa Umma baada ya kuapishwa kuwa Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu Jijini Dar es Salaam
 Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bi.  Nenelwa Mwihambi akiapa Ikulu Jijini Dar es Salaam

 

No comments:

Post a Comment