WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, May 5, 2021

SPIKA NDUGAI AONGOZA WABUNGE KATIKA FUTARI ILIYOANDALIWA NA BENKI YA CRDB JIJINI DODOMA



Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto) baada ya futari iliyoandaliwa na Benki hiyo kwa Waheshimiwa Wabunge kwenye viwanja vya Bunge jijjini Dodoma,  Kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya CRDB, Ndg. Ally Laay






Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akifurahi jambo na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi (kushoto) katika futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwa Waheshimiwa Wabunge kwenye viwanja vya Bunge jijjini Dodoma, Wapili kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya CRDB,Ndg. Ally Laay, Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (wapili kushoto) na Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mustapha Rajabu.


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai awaongoza Waheshimiwa Wabunge katika futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma

Waheshimiwa Wabunge wakishiriki katika futari iliyoandaliwa na Benki ya CRDB kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma




 

No comments:

Post a Comment