WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, April 28, 2021

PICHA: SPIKA NDUGAI APOKEA HATI YA JENGO LA BUNGE JIJINI DODOMA

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akipokea hati ya jengo la Bunge kutoka kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. William Lukuvi ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Katikati ni Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai, Pia Spika Ndugai alitoa wito kwa taasisi zote za kiserikali, Wizara na Mashirika kuhakikisha kwamba maeneo yao yote yamepimwa na yana hati 

 

No comments:

Post a Comment