WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, July 30, 2021

DKT.HOSEAH AMEWASILISHA MADA KUHUSU MAADILI YA UONGOZI KWA WAKURUGENZI NA WAKURUGENZI WASAIDIZI



Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Dkt. Edward Hoseah akitoa mada kuhusu Maadili ya Uongozi kwa wakurugenzi na wakurugenzi wasaidizi wa Ofisi ya Bunge, Dkt. Hoseah alitoa mada katika mafunzo ya viongozi hao yanayofanyika katika Ofisi Ndogo ya Bunge Zanzibar



Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Dkt. Edward Hoseah akitoa mada kuhusu Maadili ya Uongozi kwa wakurugenzi na wakurugenzi wasaidizi wa Ofisi ya Bunge, Dkt. Hoseah alitoa mada katika mafunzo ya viongozi hao yanayofanyika katika Ofisi Ndogo ya Bunge Zanzibar

Wakurugenzi na wakurugenzi wasaidizi wa Ofisi ya Bunge wakifuatilia uwasilishwaji wa mada katika mafunzo ya kuwajengea uwezo yanayofanyika katika Ofisi Ndogo ya Bunge, Zanzibar

No comments:

Post a Comment