Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Bunge, Mhe. Fakharia Shomar Hamisi, Mbunge wa Kwahani Mhe. Ahmed Yahya Abdulwakil na Katibu wa Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi mara baada ya kuwasili katika Ofisi Ndogo ya Bunge Zanzibar
Katibu wa Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi akitoa maelezo mafupi kwa Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai kabla Mhe. Spika hajazungumza na wakurugenzi na wakurugenzi wasaidizi wa Ofisi ya Bunge katika kikao kilichofanyika katika
Ofisi Ndogo ya Bunge Zanzibar
Katibu wa Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi akitoa maelezo mafupi kwa Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai kabla Mhe. Spika hajazungumza na wakurugenzi na wakurugenzi wasaidizi wa Ofisi ya Bunge katika kikao kilichofanyika katika Ofisi Ndogo ya Bunge Zanzibar
No comments:
Post a Comment