WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, July 27, 2021

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA OFISI YA BUNGE CHAHITIMISHWA

Katibu wa Bunge na Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge, Bi Nenelwa Mwahambi  akifunga kikao cha siku mbili cha Baraza kilichofanyika katika Ofisi Ndogo ya Bunge Zanzibar

Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumaliza kikao cha siku mbili cha Baraza kilichofanyika katika Ofisi Ndogo ya Bunge Zanzibar

 

No comments:

Post a Comment