WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, July 27, 2021

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI CHAENDELEA KATIKA OFISI NDOGO ZA BUNGE ZANZIBAR

Katibu wa Bunge, Bi Nenelwa Mwihambi  ,ndc akiongoza kikao cha Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Bunge Zanzibar, kushoto ni Katibu wa Baraza Bi Felister Njovu

Mkurugenzi wa Idara ya Bajeti, Michael Kadebe akiwasilisha Taarifa ya Bajeti ya Ofisi ya Bunge ya Mwaka 2021/2022 iliyopitishwa na Bunge na Mpango Kazi wake katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Bunge Zanzibar

mb


Mjumbe wa Baraza la Wafanyakazi, Almasi Kitojo akichangia hoja katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge kilichofanyika katika Ofisi Ndogo za Bunge Zanzibar

No comments:

Post a Comment