WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, July 26, 2021

KIKAO CHA CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI LA OFISI YA BUNGE KIMEFANYIKA KATIKA OFISI NDOGO ZA BUNGE ZANZIBAR

Katibu wa Bunge, Bi Nenelwa Mwihambi, ndc akifungua kikao cha Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Bunge kinachofanyika kwa muda wa siku mbili katika Ofisi Ndogo ya Bunge Zanzibar

Mkurugenzi wa Idara ya Bajeti katika Ofisi ya Bunge, Ndugu Michael Kadebe akiwasilisha Taarifa ya Utekelezaji wa Bajeti ya Bunge kwa Mwaka wa Fedha 2020/2021 katika kikao cha Baraza kilichofanyika katika Ofisi Ndogo ya Bunge, Zanzibar

Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge wakiwa katika Kikao cha Baraza kinachofanyika kwa muda wa siku mbili katika Ofisi Ndogo ya Bunge Zanzibar.

Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge wakiwa katika Kikao cha Baraza kinachofanyika kwa muda wa siku mbili katika Ofisi Ndogo ya Bunge Zanzibar.


 Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge wakiwa katika Kikao cha Baraza kinachofanyika kwa muda wa siku mbili katika Ofisi Ndogo ya Bunge Zanzibar.


No comments:

Post a Comment