WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, July 29, 2021

MAFUNZO YA WAKURUGENZI NA WAKURUGENZI WASAIDIZI YANAENDELEA OFISI NDOGO YA BUNGE ZANZIBAR

Mbunge wa Butiama, Mhe. Jumanne Sagini akitoa mada kuhusu Mahusiano na mawasiliano yenye tija ya viongozi wa kisiasa na kitendaji kwa wakurugenzi na wakurugenzi wasaidizi wa Ofisi ya Bunge, Mhe.Sagini alitoa mada katika mafunzo ya viongozi hao yanayofanyika katika Ofisi Ndogo ya Bunge Zanzibar

Katibu wa Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi, ndc akizungumza katika mafunzo ya kuwajengea uwezo wakurugenzi na wakurugenzi wasaidizi wa Ofisi ya Bunge inayofanyika katika Ofisi Ndogo ya Bunge, Zanzibar

Wakurugenzi na wakurugenzi wasaidizi wa Ofisi ya Bunge wakifuatilia uwasilishwaji wa mada katika mafunzo ya kuwajengea uwezo yanayofanyika katika Ofisi Ndogo ya Bunge, Zanzibar

 

No comments:

Post a Comment