WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, August 12, 2021

KAMATI YA BUNGE YA MASUALA YA UKIMWI IKIENDELEA NA KIKAO BUNGENI JIJINI DODOMA

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Masula ya Ukimwi, Mhe. Dkt. Alice Kaijage akizungumza katika kikao cha Kamati kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma, Kamati hiyo ilijadili Taarifa ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuhusu hali ya maambukizi ya VVU/UKIMWI , Kifua Kikuu na magonjwa yasiyoambukiza, kulia ni Katibu wa Kamati Asia Msangi

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Masuala ya Ukimwi wakiwa katika kikao cha Kamati kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma, Kamati hiyo ilijadili Taarifa ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuhusu hali ya maambukizi ya VVU/UKIMWI , Kifua Kikuu na magonjwa yasiyoambukiza, mafanikio na changamoto pamoja na mikakati ya kudhibiti maambukizi mapya katika tasnia hizo.

Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Innocent Bashungwa akijibu hoja za wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Masuala ya Ukimwi katika kikao cha Kamati kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma, Mhe. Bashungwa aliwasilisha Taarifa ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuhusu hali ya maambukizi ya VVU/UKIMWI , Kifua Kikuu na magonjwa yasiyoambukiza, mafanikio na changamoto pamoja na mikakati ya kudhibiti maambukizi mapya katika tasnia hizo.



Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Ally Possi akijibu hoja za wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Masuala ya Ukimwi katika kikao cha Kamati kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma, Wizara hiyo iliwasilisha Taarifa ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuhusu hali ya maambukizi ya VVU/UKIMWI , Kifua Kikuu na magonjwa yasiyoambukiza, mafanikio na changamoto pamoja na mikakati ya kudhibiti maambukizi mapya katika tasnia hizo.

No comments:

Post a Comment