WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, August 12, 2021

KAMATI YA BUNGE YA PIC IKIWA KATIKA KIKAO BUNGENI JIJINI DODOMA

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), Mhe. Atupele Mwakibete akizungumza katika kikao cha Kamati kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma, kulia ni Katibu wa Kamati hiyo, Elieka Saanya.

 

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), wakiwa katika kikao cha Kamati kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma.

Mkurugenzi wa Idara ya Uwekezaji Ofisi ya Msajili wa Hazina, Mohamed Nyasama akifafanua jambo katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC)  kilichofanyika Bungeni Jjijini Dodoma


No comments:

Post a Comment