Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma
(PIC), Mhe. Atupele Mwakibete akizungumza katika kikao cha Kamati
kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma, kulia ni Katibu wa Kamati hiyo, Elieka
Saanya.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC),
wakiwa katika kikao cha Kamati kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma.
Mkurugenzi wa Idara ya Uwekezaji Ofisi ya Msajili wa Hazina,
Mohamed Nyasama akifafanua jambo katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Uwekezaji
wa Mitaji ya Umma (PIC) kilichofanyika
Bungeni Jjijini Dodoma
No comments:
Post a Comment