WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, August 13, 2021

KAMATI YA BUNGE YA SHERIA NDOGO YAPITIA NA KUCHAMBUA MAONI YA WADAU

Katibu wa Kamati ya Sheria Ndogo Ndg. Mkuta Msoli (aliesimama) akielezea jambo kwa kamati ya Bunge ya Sheria wakati wakipitia na kuchambua maoni ya wadau kuhusu:
 Kanuni za usajili wa Wataalamu wa Mazingira,2021 na Kanuni za Uvuvi, 2009 katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma

 
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Sheria ndogo wakipitia na kuchambua maoni ya wadau kuhusu:
 Kanuni za usajili wa Wataalamu wa Mazingira,2021 na Kanuni za Uvuvi, 2009 katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma


Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Sheria ndogo Mhe. Ndaisaba George Ruhoro akichangia jambo wakati wakipitia na kuchambua maoni ya wadau kuhusu:
 Kanuni za usajili wa Wataalamu wa Mazingira,2021 na Kanuni za Uvuvi, 2009 katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma


 

No comments:

Post a Comment