KAMATI YA HESABU ZA SERIKALI (PAC) YAPOKEA MAONI KUTOKA KWA WADAU
CPA Godvictor Ibrahim Lyimo Rais wa Chama cha Wahasibu Tanzania (TAA) akitoa
maoni ya wadau kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Usajili wa Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu wa mwaka 2021 katika viwanja vya Bunge tarehe 12 Agosti 2021
Wajumbe wa Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) wakipokea maoni ya wadau kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Usajili wa Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu wa mwaka 2021 katika viwanja vya Bunge tarehe 12 Agosti 2021
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Mhe. Naghenjwa Livingstone Kaboyoka (mwenye njano) na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Japheti Ngailonga Hasunga wakisikiliza kwa makini maoni ya wadau kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Usajili wa Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu wa mwaka 2021 katika viwanja vya Bunge tarehe 12 Agosti 2021
No comments:
Post a Comment