WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, October 8, 2021

BARAZA LA WAFANYAKAZI LA OFISI YA BUNGE LIMEFANYA KIKAO KATIKA UKUMBI WA MSEKWA BUNGENI JIJINI DODOMA

Katibu wa Bunge ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi akiongoza kikao cha Baraza kilichofanyika katika Ukumbi wa Msekwa, Bungeni Jijini Dodoma

Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Bunge wakifuatilia uwasilishwaji wa mada katika kikao cha Baraza kilichofanyika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Bunge wakifuatilia uwasilishwaji wa mada katika kikao cha Baraza kilichofanyika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma

No comments:

Post a Comment