WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, February 23, 2022

NAIBU SPIKA MUSSA ZUNGU AONGOZA SEMINA YA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO WAJUMBE WA KAMATI YA UONGOZI, MAKAMU WENYEVITI WA KAMATI NA TUME YA UTUMISHI WA BUNGE


Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Zungu (Mb), akiongoza semina ya mafunzo ya kuwajengea uwezo Wajumbe wa kamati ya uongozi, Makamu Wenyeviti wa kamati na Tume ya Utumishi wa Bunge yanayoendelea leo katika ofisi ndogo za Bunge, Tunguu Zanzibar, Februari 23, 2022, semina hiyo imewasilishwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mhe. Jumanne Sigini yenye mada kuhusu dhana ya mgawanyo wa madaraka na namna ya kudhibiti muingiliano wa madaraka ya mihimili ya dola

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mhe. Jumanne Sigini (Mb), akiwasilisha mada kuhusu dhana ya mgawanyo wa madaraka na namna ya kudhibiti muingiliano wa madaraka ya mihimili ya dola mbele ya Wajumbe wa kamati ya uongozi, Makamu Wenyeviti wa kamati na Tume ya Utumishi wa Bunge wakati wa semina ya mafunzo ya kuwajengea uwezo yanayoendelea leo katika ofisi ndogo za Bunge, Tunguu Zanzibar, Februari 23, 2022

Mwenyekiti wa kamati ya katiba na Sheria na Mbunge wa Madaba, Mhe. Joseph Mhagama (Mb), akichangia jambo wakati wa semina ya mafunzo ya kuwajengea uwezo Wajumbe wa kamati ya uongozi, Makamu Wenyeviti wa kamati na Tume ya Utumishi wa Bunge yanayoendelea leo katika ofisi ndogo za Bunge, Tunguu Zanzibar, Februari 23, 2022, semina hiyo imewasilishwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mhe. Jumanne Sigini yenye mada kuhusu dhana ya mgawanyo wa madaraka na namna ya kudhibiti muingiliano wa madaraka ya mihimili ya dola



Makamu Mwenyekiti wa kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge na Mbunge wa Jimbo la Tabora Kaskazini, Mhe. Almas Maige akichangia jambo wakati wa semina ya mafunzo ya kuwajengea uwezo Wajumbe wa kamati ya uongozi, Makamu Wenyeviti wa kamati na Tume ya Utumishi wa Bunge yanayoendelea leo katika ofisi ndogo za Bunge, Tunguu Zanzibar, Februari 23, 2022, semina hiyo imewasilishwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mhe. Jumanne Sigini yenye mada kuhusu dhana ya mgawanyo wa madaraka na namna ya kudhibiti muingiliano wa madaraka ya mihimili ya dola


 

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe. Dkt. Eliazer Feleshi akitoa ufafanuzi wakati wa semina ya mafunzo ya kuwajengea uwezo Wajumbe wa kamati ya uongozi, Makamu Wenyeviti wa kamati na Tume ya Utumishi wa Bunge yanayoendelea leo katika ofisi ndogo za Bunge, Tunguu Zanzibar, Februari 23, 2022, semina hiyo imewasilishwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Mhe. Jumanne Sigini yenye mada kuhusu dhana ya mgawanyo wa madaraka na namna ya kudhibiti muingiliano wa madaraka ya mihimili ya dola

No comments:

Post a Comment