WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, April 4, 2022

SPIKA DKT. TULIA AMEKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI SIMBACHAWENE


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - Bunge, Sera na Uratibu, Mhe. George Simbachawene baada ya kumtembelea kwa lengo la kujitambulisha kwake katika Ofisi ya Spika iliyopo Bungeni Jijini Dodoma leo Aprili 4, 2022


No comments:

Post a Comment