WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, April 1, 2022

SPIKA DKT. TULIA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI NA KAMATI YA BAJETI CHA KUPOKEA MASUALA MUHIMU YALIYOJITOKEZA KWENYE KAMATI ZA KISEKTA


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (Mb), akiongoza kikao cha Kamati ya Uongozi na Kamati ya Bajeti cha kupokea Masuala muhimu yaliyojitokeza kwenye Kamati za Kisekta wakati wa kujadili Bajeti za Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 leo Aprili 1, 2022 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto ni Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa na Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti, Mhe. Daniel Sillo


Viongozi Mbalimbali wa Serikali na Bunge wakishiriki kikao cha Kamati ya Uongozi na Kamati ya Bajeti cha kupokea Masuala muhimu yaliyojitokeza kwenye Kamati za Kisekta wakati wa kujadili Bajeti za Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 leo Aprili 1, 2022 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.

Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc pamoja na Mkurugenzi wa Kamati za Bunge, Ndg. Athuman Hussein wakishiriki kikao cha Kamati ya Uongozi na Kamati ya Bajeti cha kupokea Masuala muhimu yaliyojitokeza kwenye Kamati za Kisekta wakati wa kujadili Bajeti za Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 leo Aprili 1, 2022 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.


Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Miundombinu, Mhe. Selemani Kakoso akichangia jambo wakati wa kikao cha Kamati ya Uongozi na Kamati ya Bajeti cha kupokea Masuala muhimu yaliyojitokeza kwenye Kamati za Kisekta wakati wa kujadili Bajeti za Wizara kwa Mwaka wa Fedha 2022/2023 leo Aprili 1, 2022 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.






 

No comments:

Post a Comment