WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, July 1, 2022

BUNGE WATEMBELEWA NA WAGENI MBALIMBALI KATIKA VIWANJA VYA SABASABA

Maafisa wa Bunge wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Stergomena Tax alipotembelea Bunge katika viwanja vya sabasaba Jijini Dar-es-salaam.

Kaimu Balozi wa Jamhuri ya kislamu ya Iran Mhe. Hossein Alvandi Bahineh akisani kitabu cha wageni


Wanafunzi wa shule mbalimbali watembelea banda la Bunge liliopo katika viwanja vya sabasaba jijini Dar-es-salaam
 

No comments:

Post a Comment