WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, September 9, 2022

SPIKA DKT. TULIA MGENI RASMI HAFLA YA UTOAJI WA ZAWADI KWA WASHINDI WA INSHA YA KUPINGA NDOA NA MIMBA ZA UTOTONI


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akisalimiana na Naibu Waziri Ofisi ya Rais, TAMISEMI (Afya), Mhe. Dkt. Festo Dugange wakati alipowasili katika hoteli ya St. Gasper Jijini Dodoma leo tarehe 9 Septemba, 2022 katika hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Insha ya Kupinga Ndoa na Mimba za Utotoni. Wapili kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Stanslaus Nyongo (kulia) na Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la World Vision Tanzania, Dkt. Diana Mndeme




Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza jambo wakati wa hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Insha ya Kupinga Ndoa na Mimba za Utotoni iliyofanyika leo tarehe 9 Septemba, 2022 katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gasper Jijini Dodoma.



Naibu Waziri Ofisi ya Rais, TAMISEMI (Afya), Mhe. Dkt. Festo Dugange akizungumza jambo wakati wa hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Insha ya Kupinga Ndoa na Mimba za Utotoni iliyofanyika leo tarehe 9 Septemba, 2022 katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gasper Jijini Dodoma.



Wanafunzi Mbalimbali walioshiriki katika zoezi la uandishi wa insha wakiwa katika hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Insha ya Kupinga Ndoa na Mimba za Utotoni iliyofanyika leo tarehe 9 Septemba, 2022 katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gasper Jijini Dodoma.

 

Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akimkabidhi mfano wa hundi ya Shillingi Million 1 Mwanafunzi Genoveva Mwakihwaja aliyeibuka Mshindi wa kwanza katika hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Insha ya Kupinga Ndoa na Mimba za Utotoni iliyofanyika leo tarehe 9 Septemba, 2022 katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gasper Jijini Dodoma. Kulia ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais, TAMISEMI (Afya), Mhe. Dkt. Festo Dugange 



 Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi Wakuu kutoka Shirika la World Vision Tanzania na Wadau wa Maendeleo wakati wa hafla ya utoaji wa zawadi kwa washindi wa Insha ya Kupinga Ndoa na Mimba za Utotoni iliyofanyika leo tarehe 9 Septemba, 2022 katika Ukumbi wa Mikutano wa St. Gasper Jijini Dodoma. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Rosemary Senyamule, Naibu Waziri Ofisi ya Rais, TAMISEMI (Afya), Mhe. Dkt. Festo Dugange (kushoto kwake), Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Stanslaus Nyongo (kulia) na Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la World Vision Tanzania, Dkt. Diana Mndeme (wapili kulia)

No comments:

Post a Comment