WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, September 8, 2022

WAJUMBE KAMATI YA PAC WAPOKEA MAELEZO KUHUSU MAJUKUMU YA OFISI YA MKAGUZI MKUU WA NDANI WA SERIKALI, WACHAMBUA TAARIFA YA HESABU ZILIZOKAGULIWA NA EWURA


Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Naghenjwa Kaboyoka akiongoza kikao cha kamati hiyo kilichokaa na Kupokea maelezo kuhusu majukumu ya ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali katika udhibiti wa matumizi ya fedha za Umma, Kupitia na kuchambua Taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa za Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) kilichofanyika leo tarehe 8 Septemba, 2022 katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Mhe. Japhet Hasunga

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Naghenjwa Kaboyoka (katikati) akiongoza kikao cha kamati hiyo kilichokaa na kupokea maelezo kuhusu majukumu ya ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali katika udhibiti wa matumizi ya fedha za Umma, Kupitia na kuchambua Taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa za Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) kilichofanyika leo tarehe 8 Septemba, 2022 katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma.

Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA), Prof. Mark Mwandosya akijitambulisha mbele ya kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakati wa kikao cha kamati hiyo kilichokaa na kupokea maelezo kuhusu majukumu ya ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali katika udhibiti wa matumizi ya fedha za Umma, Kupitia na kuchambua Taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa za Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) leo tarehe 8 Septemba, 2022 katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma. Kushoto ni Mkurugenzi wa Petroli EWURA, Ndg. Gerald Maganga na Mkurugenzi wa Fedha, Utawala na Rasiliamali Watu EWURA, Ndg. Stanley Mahembe.



Mjumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Isack Kamwelwe akichangia jambo wakati wa kikao cha kamati hiyo kilichokaa na kupokea maelezo kuhusu majukumu ya ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali katika udhibiti wa matumizi ya fedha za Umma, Kupitia na kuchambua Taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa za Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) leo tarehe 8 Septemba, 2022 katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma.



Wajumbe wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiwa katika kikao cha kamati hiyo kilichokaa na kupokea maelezo kuhusu majukumu ya ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali katika udhibiti wa matumizi ya fedha za Umma, Kupitia na kuchambua Taarifa ya Hesabu zilizokaguliwa za Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) leo tarehe 8 Septemba, 2022 katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma.





 

No comments:

Post a Comment