WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, September 16, 2022

TIMU YA BUNGE SPORTS CLUB YAKABIDHIWA VIFAA VYA MICHEZO NA BENKI YA NMB


Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ndg. Ruth Zaipuna (kulia) amemkabidhi vifaa vya michezo Mwenyekiti wa timu ya Bunge Sports Club, Mhe. Tarimba Abbas (wapili kulia) tukio lililofanyika leo tarehe 16 Septemba, 2022 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Wapili kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa timu ya Bunge Sports Club, Mhe. Esther Matiko na Afisa wa Bunge, Ndg. Rai Karinga

Makabidhiano hayo ni kuelekea katika bonanza kati ya timu ya Bunge Sports Club na Benki ya NMB linalotegemewa kufanyika kesho tarehe 17 Septemba, 2022 katika viwanja vya Chinangali Jijini Dodoma.


No comments:

Post a Comment