WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, September 16, 2022

WAJUMBE KAMATI YA BUNGE YA MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA WAFANYA MAZUNGUMZO NA MABALOZI WA NCHI ZA UMOJA WA ULAYA BUNGENI JIJINI DODOMA



 

Makamu Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama, Mhe. Vicent Mbogo akiongoza mazungumzo kati ya Wajumbe wa kamati hiyo (kushoto) na Mabalozi wa Nchi za Umoja wa Ulaya (kulia) wakiongozwa na Balozi wa Umoja huo, Mhe. Manfredo Fanti (kulia) walipowatembelea leo tarehe 16 Septemba, 2022 Bungeni Jijini Dodoma.


No comments:

Post a Comment