WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, October 21, 2022

WAJUMBE CWP KANDA YA AFRIKA WAENDELEA NA WARSHA YA UHAMASISHAJI KUHUSU WABUNGE WANAWAKE KATIKA UONGOZI NA SIASA JIJINI DAR ES SALAAM



Mwenyekiti wa Chama cha Wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CWP Africa Region) na Duniani, Mhe. Dkt. Zainab Gimba akiongoza majadiliano katika warsha ya uhamasishaji kwa Wajumbe wa Chama cha Wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika kuhusu Wabunge Wanawake katika uongozi na siasa iliyofanyika katika hoteli ya Ramada Jijini Dar es Salaam.

Warsha hiyo iliyoanza jana inategemea kumalizika leo uku ikiwa imehudhuriwa na nchi 10 za Afrika.



Mhadhiri Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Ruth Meena akitoa mada kuhusu migogoro Mbalimbali wanayokutana nayo Wabunge wanawake baada ya uchaguzi katika warsha ya uhamasishaji kwa Wajumbe wa Chama cha Wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CWP Africa Region) kuhusu Wabunge Wanawake katika uongozi na siasa iliyofanyika katika hoteli ya Ramada Jijini Dar es Salaam.

Warsha hiyo iliyoanza jana inategemea kumalizika leo uku ikiwa imehudhuriwa na nchi 10 za Afrika.




Wajumbe wa Chama cha Wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CWP Africa Region) wakimsikiliza Mhadhiri Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Ruth Meena (hayupo kwenye picha) akitoa mada kuhusu migogoro Mbalimbali wanayokutana nayo Wabunge wanawake baada ya uchaguzi katika warsha ya uhamasishaji kwa Wajumbe hao kuhusu Wabunge Wanawake katika uongozi na siasa iliyofanyika katika hoteli ya Ramada Jijini Dar es Salaam.

Warsha hiyo iliyoanza jana inategemea kumalizika leo uku ikiwa imehudhuriwa na nchi 10 za Afrika.



 Mjumbe wa kamati ya uongozi ya Chama cha Wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CWP Africa Region), Mhe. Ndangiza Madina akichangia jambo wakati wa warsha ya uhamasishaji kwa Wajumbe wa Chama cha Wanawake wa Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika kuhusu Wabunge Wanawake katika uongozi na siasa iliyofanyika katika hoteli ya Ramada Jijini Dar es Salaam.

Warsha hiyo iliyoanza jana inategemea kumalizika leo uku ikiwa imehudhuriwa na nchi 10 za Afrika.

No comments:

Post a Comment