WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, November 25, 2022

WACHEZAJI TIMU YA BUNGE SPORTS CLUB WASHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MICHEZO YA MABUNGE YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI NCHINI SUDAN KUSINI
















Matukio katika picha yaliyojiri leo tarehe 25 Novemba, 2022 wakati wachezaji wa timu ya Bunge Sports Club wakishiriki katika uzinduzi wa Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki katika Ukumbi wa Freedom Hall, Juba Nchini Sudan Kusini.

Kauli Mbiu ya Michezo hiyo ni Kupanua na Kuimarisha Muungano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa Kuongeza umoja wa Wananchi wake kupitia Michezo.


 

No comments:

Post a Comment