WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, December 6, 2022

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Bajeti ya Bunge la Tanzania wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati Mheshimiwa Daniel Sillo wametembelea Bunge la Umoja wa Falme za Kiarabu (U.A.E) na kukutana na wajumbe wa Kamati ya Bajeti ya Bunge hilo kwa lengo la kubadilishana mawazo katika masuala mbalimbali ya kibajeti











 

No comments:

Post a Comment