WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, February 27, 2023

SPIKA DKT. TULIA AONGOZA MAFUNZO YA KAMATI YA UONGOZI NA MAKAMU WENYEVITI WA KAMATI ZA BUNGE




Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uongozi, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiongoza mafunzo ya kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 27 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar


Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Mhe. Zubeir Ali Maulid akitoa neno la ukaribisho kwa Wajumbe wakati wa mafunzo ya Kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 27 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar, Katikati ni Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uongozi, Mhe. Dkt. Tulia Ackson na Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Anne Makinda



Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc akitoa neno la utangulizi wakati wa mafunzo ya Kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 27 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar



Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Anne Makinda akitoa mada kuhusu Madaraka, Majukumu, Mipaka ya Utendaji Kazi, Uzoefu na Changamoto katika Uendeshaji wa Kamati za Bunge wakati wa  mafunzo ya Kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 27 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar



Mkufunzi wa Mafunzo Kutoka Taasisi ya Uongozi (Uongozi Institute), Ndg. Zuhura Muro akitoa mada kuhusu Uongozi wa Kimkakati katika uendeshaji wa Shughuli za Bunge wakati wa mafunzo ya Kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 27 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar






Wajumbe wa Kamati ya uongozi na Makamu Wenyeviti wa Kamati za Kudumu za Bunge wakiwa katika mafunzo kuhusu Madaraka, Majukumu, Mipaka ya Utendaji Kazi, Uzoefu na Changamoto katika Uendeshaji wa Kamati za Bunge na Uongozi wa Kimkakati katika uendeshaji wa Shughuli za Bunge yaliyofanyika leo tarehe 27 Februari, 2023 katika ofisi ndogo za Bunge Tunguu, Zanzibar

 


 

No comments:

Post a Comment