WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, July 3, 2023

RAIS SAMIA AFUNGUA MKUTANO WA 53 WA SADC PF JIJINI ARUSHA


Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika hoteli ya Gran Melia, Jijini Arusha na kupokelewa na Spika wa Bunge la Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson kwa ajili ya kufungua Mkutano wa 53 wa Jukwaa la SADC leo tarehe 3 Julai, 2023. Wa kwanza kushoto ni Katibu wa Bunge la Tanzania, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc



Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiambatana na Spika wa Bunge la Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson wakielekea ukumbini kwa ajili ya kufungua Mkutano wa 53 wa Jukwaa la SADC leo tarehe 3 Julai, 2023 katika hoteli ya Gran Melia, Jijini Arusha.



Spika wa Bunge la Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza wakati wa Mkutano wa 53 wa Jukwaa la SADC uliofanyika leo tarehe 3 Julai, 2023 katika hoteli ya Gran Melia, Jijini Arusha na kufunguliwa na Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.


Katibu wa Bunge la Tanzania, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc akizungumza wakati wa Mkutano wa 53 wa Jukwaa la SADC uliofanyika leo tarehe 3 Julai, 2023 katika hoteli ya Gran Melia, Jijini Arusha na kufunguliwa na Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.



Kwaya ya Bunge ikiimba wakati wa uzinduzi wa Mkutano wa 53 wa Jukwaa la SADC leo tarehe 3 Julai, 2023 katika hoteli ya Gran Melia, Jijini Arusha, uzinduzi huo umefanywa na Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Mkutano wa 53 wa Jukwaa la SADC leo tarehe 3 Julai, 2023 katika hoteli ya Gran Melia, Jijini Arusha.

 

Wabunge wa Bunge la Tanzania wakishiriki katika uzinduzi wa Mkutano wa 53 wa Jukwaa la SADC leo tarehe 3 Julai, 2023 katika hoteli ya Gran Melia, Jijini Arusha, uzinduzi huo umefanywa na Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan 


Wajumbe wa Jukwaa la SADC wakiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan mara baada ya kufungua Mkutano wa 53 wa Jukwaa hilo leo tarehe 3 Julai, 2023 katika hoteli ya Gran Melia, Jijini Arusha. Watatu kushoto waliokaa ni mwenyeji Spika wa Bunge la Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson na Rais wa SADC PF na Spika wa Bunge la Seychelles, Mhe. Roger Mancienne (Watatu kulia waliokaa).



Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Spika wa Bunge la Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson mara baada ya kufungua Mkutano wa 53 wa Jukwaa la SADC leo tarehe 3 Julai, 2023 katika hoteli ya Gran Melia, Jijini Arusha.

 


 

No comments:

Post a Comment