WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, July 25, 2023

SPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI ITALIA.


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Italia, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo mara baada ya kuwasili katika ofisi za Ubalozi huo Jijini Roma nchini Italia tarehe 24 Julai, 2023.


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili katika ofisi za Ubalozi wa Tanzania nchini Italia tarehe 24 Julai, 2023, aliesimama ni Balozi wa Tanzania nchini Italia, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Italia, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo alipomtembelea tarehe 24 Julai, 2023 katika ofisi za Ubalozi huo Jijini Roma nchini Italia. Kulia ni Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc


Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (watatu kulia) akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Italia, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (watano kushoto) alipomtembelea tarehe 24 Julai, 2023 katika ofisi za Ubalozi huo Jijini Roma nchini Italia. Wapili kulia ni Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi, ndc, pamoja na Maafisa kutoka Ofisi ya Bunge na Ubalozi wa Tanzania nchini Italia.


 Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiagana na Balozi wa Tanzania nchini Italia, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika katika ofisi za Ubalozi huo Jijini Roma nchini Italia tarehe 24 Julai, 2023.

No comments:

Post a Comment