WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, August 18, 2023

KAMATI YA BUNGE YA VIWANDA, BIASHARA, KILIMO NA MIFUGO YAPOKEA NA KUJADILI TAARIFA YA WIZARA YA VIWANDA NA BIASHARA.




Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Mhe. David Kihenzile akiongoza kikao cha kamati hiyo kilichopokea na kujadili taarifa ya Wizara ya Viwanda na Biashara kuhusu Utendaji wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) na Utendaji wa Bodi ya usimamizi wa stakabadhi za ghala (wrrb) jana tarehe 17 Agosti, 2023 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.


Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Mhe. Kunti Majala akijadili taarifa ya Wizara ya Viwanda na Biashara kuhusu Utendaji wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) na Utendaji wa Bodi ya usimamizi wa stakabadhi za ghala (wrrb) jana tarehe 17 Agosti, 2023 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akijibu hoja za Wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo wakati wa kujadili taarifa ya Wizara ya Viwanda na Biashara kuhusu Utendaji wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) na Utendaji wa Bodi ya usimamizi wa stakabadhi za ghala (wrrb) jana tarehe 17 Agosti, 2023 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Exaud Kigahe


Wajumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo wakijadili taarifa ya Wizara ya Viwanda na Biashara kuhusu Utendaji wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) na Utendaji wa Bodi ya usimamizi wa stakabadhi za ghala (wrrb) jana tarehe 17 Agosti, 2023 katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.

 

 

No comments:

Post a Comment