WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, August 1, 2023

WATUMISHI OFISI YA BUNGE WATOA ELIMU KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI ZILIZOPO ILALA JIJINI DAR ES SALAAM















 Watumishi wa Ofisi ya Bunge wametembelea ofisi ya Katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam, watoa elimu kuhusu Shughuli zinazofanywa na Bunge kwa wanafunzi wa Shule za msingi za Bunge, Mtendeni na Msimbazi jana tarehe 31 Julai, 2023 Jijini Dar es Salaam, ikiwa ni ziara ya utoaji elimu kwa wanafunzi wa Shule za msingi na Sekondari zilizopo katika Wilaya ya Ilala.

Ziara hii imeanza jana tarehe 31 Julai, 2023 na inategemewa kuhitimishwa tarehe 11 Agosti, 2023.

No comments:

Post a Comment