WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, July 27, 2023

SPIKA DKT. TULIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA SPIKA WA BUNGE LA ITALIA.


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akizungumza jambo na Spika wa Bunge la Italia, Mhe. Lorenzo Fontana alipomtembelea leo tarehe 27 Julai, 2023 ofisini kwake Jijini Roma nchini Italia.


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akimpatia zawadi ya ngao yenye nembo ya Bunge la Tanzania Spika wa Bunge la Italia, Mhe. Lorenzo Fontana alipomtembelea leo tarehe 27 Julai, 2023 ofisini kwake Jijini Roma nchini Italia.


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akiambatana na Spika wa Bunge la Italia, Mhe. Lorenzo Fontana alipomtembelea leo tarehe 27 Julai, 2023 ofisini kwake Jijini Roma nchini Italia.

No comments:

Post a Comment