WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Wednesday, August 2, 2023

WATUMISHI WA OFISI YA BUNGE WAENDELEA NA UTOAJI WA ELIMU KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI ZILIZOPO ILALA JIJINI DAR ES SALAAM.













 Watumishi wa Ofisi ya Bunge wameendelea na utoaji wa elimu kuhusu Shughuli zinazofanywa na Bunge kwa wanafunzi wa Shule ya msingi ya Upanga, Shule ya msingi Kisutu na Shule ya Sekondari ya wasichana Kisutu leo tarehe 2 Agosti, 2023 Jijini Dar es Salaam, ikiwa ni ziara ya utoaji elimu kwa wanafunzi wa Shule za msingi na Sekondari zilizopo katika Wilaya ya Ilala.

Ziara hii imeanza tarehe 31 Julai, 2023 na inategemewa kuhitimishwa tarehe 11 Agosti, 2023.

No comments:

Post a Comment