WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, March 18, 2024

KAMATI YA LAAC IMEKAGUA UJENZI WA HOSPITALI YA HALMASHAURI YA MANISPAA YA BUKOBA MKOANI KAGERA



Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (LAAC), wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti Mheshimiwa Stansalus Mabula, wakiangalia msingi wa mojawapo ya jengo la Hospitali ya Manispaa ya Bukoba wakati Kamati hiyo potembelea na kukagua ujenzi wa  hospitali hiyo katika Mkoa wa Kagera

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (LAAC), wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti Mheshimiwa Stansalus Mabula, wakikagua mradi wa ujenzi wa Hospitali ya  Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba wakati Kamati hiyo ilipotembelea na kukagua mradi huo.

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (LAAC), akieleza jambo mbele ya watendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba wakati Kamati hiyo ilipotembelea na kukagua ujenzi wa  Hospitali ya Manispaa hiyo katika Mkoa wa Kagera. 

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (LAAC), wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti Mheshimiwa Stansalus Mabula, wakiangalia msingi wa mojawapo ya jengo la Hospitali ya Manispaa ya Bukoba wakati Kamati hiyo potembelea na kukagua ujenzi wa  hospitali hiyo katika Mkoa wa Kagera. 






 

No comments:

Post a Comment