WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Saturday, March 16, 2024

KAMATI YA LAAC YAKAGUA MIRADI YA HALMASHAURI YA WILAYA YA BUKOBA


Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Mheshimiwa Stansalaus Mabula akipima urefu wa msingi katika mojawapo ya jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba wakati Kamati hiyo ilipotembelea na kukagua ujenzi wa hospitali hiyo.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti Mheshimiwa Stansalaus Mabula wakikagua ujenzi wa wa mradi wa Shule ya Sekondari Rukoma  wakati Kamati hiyo ilipotembelea na kukagua mradi  huo uliopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba.

 

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti Mheshimiwa Stansalaus Mabula wakikagua ujenzi wa wa mradi wa Shule ya Sekondari Rukoma  wakati Kamati hiyo ilipotembelea na kukagua mradi  huo uliopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Bukoba.

 

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Mheshimiwa Stansalaus Mabula akiwa na wajumbe wa Kamati, wakiwasikiliza wanafunzi wa Shule ya Sekondari Rukoma katika maabara ya somo la Kemia wakati Kamati hiyo ilipotembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa shule hiyo iliyopo katika Hamashauri ya Wilaya ya Bukoba.

 

No comments:

Post a Comment