WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Friday, March 15, 2024

KAMATI YA LAAC YAKAGUA MIRADI MANISPAA YA KAHAMA

 

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), wakimsikiliza Mhandisi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama  wakati Kamati hiyo ilipotembelea na kukagua ujenzi wa Jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Halmashauri hiyo.


Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama, Masud Kibetu akifafanua jambo mbele ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), wakati Kamati hiyo ilipokuwa inakagua ujenzi wa Jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Halmashauri hiyo

Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa, Mheshimiwa Lemburis Mollel akitaka ufafanuzi mbele ya watendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama wakati Kamati hiyo ilipokuwa inakagua ujenzi wa Jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Halmashauri hiyo.

Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Dkt. Wilson Charles wakati wakati Kamati hiyo ilipotembelea na kukagua ujenzi wa Jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Halmashauri hiyo.

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Mheshimiwa Stansalaus Mabula akitoa maelekezo kwa watendaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Kahama wakati Kamati hiyo ilipokuwa inakagua ujenzi wa Jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Halmashauri hiyo.

 

No comments:

Post a Comment