KATIBU NENELWA AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI OFISI YA BUNGE
Katibu wa Bunge
ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wafanyakazi ofisi ya Bunge, Ndg. Nenelwa
Mwihambi, ndc akiongoza kikao cha
Baraza hilo kilichofanyika tarehe 20 Machi, 2024 katika ofisi za Bunge Jijini
Dodoma.
No comments:
Post a Comment