WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Tuesday, March 19, 2024

KAMATI YA LAAC IMEKAGUA MIRADI MITATU KATIKA HALMASHAURI YA MJI WA GEITA

Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Mheshimiwa Munde Tambwe akizungumza kwa niaba ya Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, wakati Kamati ilipotembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya katika zahanati ya Bulela iliyopo Halmashauri ya Mji wa Geita, kulia ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati,Mheshimiwa Stansalaus Mabula na kushoto ni mjumbe wa Kamati hiyo Mheshimiwa Daimu Mpakate.



Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (LAAC),Mheshimiwa Stansalau Mabula akizungumza na watendaji mbalimbali wa Halmashauri ya Mji wa Geita wakati Kamati hiyo ilipotembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya katika Zahanati ya Bulela iliyopo Manispaa ya Mji wa Geita

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (LAAC),Mheshimiwa Stansalau Mabula akiambatana na wajumbe wa Kamati hiyo wakikagua mradi wa ujenzi wa mpira wa miguu Geita katika Halmashauri ya Mji wa Geita.

 

 Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikalu (LAAC), wakiongozwa na Makamu mwenyekiti wa Kamati, Mheshimiwa Stansalaus Mabula wakonyeshwa mchoro wa ramani ya uwanja wa mpira wa miguu Geita wakati Kamati ilipotembelea na kukagua mradi huo.

 

No comments:

Post a Comment