WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Saturday, June 2, 2018

SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA BUNGE LA LONDON HOUSE OF COMMONS

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akimsikiliza Mbunge kutoka Bunge la London House of Commons Mhe. Stephen Timms (katikati) alieambatana na Mke wake, Ndg. Hui Leng (kulia) walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dodoma

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mbunge kutoka Bunge la  London House of Commons Mhe. Stephen Timms (katikati) na Mke wake, Ndg. Hui Leng (kulia) walipomtembelea leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.


Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Mbunge kutoka Bunge la London House of Commons Mhe. Stephen Timms (wa pili kushoto)alieambatana na Mke wake Ndg. Hui Leng (wa pili kulia) wageni wengine ni Maafisa kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Tearfund walipomtembela leo Ofisini kwake Jijini Dodoma.

NAIBU SPIKA AKUTANA NA UONGOZI WA BENKI YA NBC



Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Watendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) Ofisini kwake Jijini Dodoma, kushoto kwa Naibu Spika ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Ndg. Theobald Sabi. Kikao hicho pia kilihudhuriwa na Mbunge wa Kilolo, Mhe. Venance Mwamoto.





Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (katikati) katika picha ya pamoja na  Watendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) mara baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake Jijini Dodoma,  watatu toka kushoto ni  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Ndg. Theobald Sabi na wapili kulia ni Mbunge wa Kilolo Mhe. Venance Mwamoto.