WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Saturday, June 2, 2018

NAIBU SPIKA AKUTANA NA UONGOZI WA BENKI YA NBC



Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Watendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) Ofisini kwake Jijini Dodoma, kushoto kwa Naibu Spika ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Ndg. Theobald Sabi. Kikao hicho pia kilihudhuriwa na Mbunge wa Kilolo, Mhe. Venance Mwamoto.





Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson (katikati) katika picha ya pamoja na  Watendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) mara baada ya kuzungumza nao Ofisini kwake Jijini Dodoma,  watatu toka kushoto ni  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Ndg. Theobald Sabi na wapili kulia ni Mbunge wa Kilolo Mhe. Venance Mwamoto.

No comments:

Post a Comment