Saturday, May 22, 2021
Friday, May 21, 2021
WATUMISHI OFISI YA BUNGE WAMPOKEA KATIBU MPYA WA BUNGE JIJINI DODOMA
Katibu wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi akipokelewa na Mkurugenzi Msaidizi wa Utawala na Rasilimali Watu Bunge, Ndg. Triphonia Mng’ong’o alipowasili katika viwanja vya Bunge leo Jijini Dodoma.
Watumishi Ofisi ya Bunge wakimpokea kwa bashasha Katibu wa Bunge, Ndg, Nenelwa Mwihambi alipowasili katika viwanja vya Bunge leo Jijini Dodoma.
Thursday, May 20, 2021
Wednesday, May 19, 2021
KATIBU MPYA WA BUNGE, BI. NENELWA MWIHAMBI AAPISHWA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Bi. Nenelwa Mwihambi kuwa Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Katibu wa Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi akiapa kiapo cha Maadili ya Utumishi wa Umma baada ya kuapishwa kuwa Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu Jijini Dar es Salaam
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bi. Nenelwa Mwihambi akiapa Ikulu Jijini Dar es Salaam
Katibu wa Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi akiapa kiapo cha Maadili ya Utumishi wa Umma baada ya kuapishwa kuwa Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ikulu Jijini Dar es Salaam
Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bi. Nenelwa Mwihambi akiapa Ikulu Jijini Dar es Salaam
Saturday, May 15, 2021
MHE. RAIS SAMIA AMTEUA BI. NENELWA MWIHAMBI KUWA KATIBU WA BUNGE
Katibu wa Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amemteua Bi. Nenelwa Mwihambi kuwa Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Bi. Mwihambi anachukua nafasi ya aliyekuwa Katibu wa Bunge, Bw. Stephen Kagaigai ambaye ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.
Kabla ya kuteuliwa kuwa katibu wa Bunge Bi. Mwihambi alikuwa ni Mkurugenzi wa Idara ya Shughuli za Bunge.
Aidha, Bi. Mwihambi anakuwa Mwanamke wa kwanza kuteuliwa kuwa Katibu wa Bunge.
Friday, May 14, 2021
SPIKA WA BUNGE, MHE. JOB NDUGAI (MB) ANAWATAKIA WAISLAM NA WATANZANIA WOTE HERI YA SIKUKUU YA EID EL FITR.
Spika wa Bunge,
Mhe. Job Ndugai (Mb) anawatakia waislam na Watanzania wote heri ya Sikukuu ya
Eid El Fitr.
Subscribe to:
Posts (Atom)



