WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Thursday, May 27, 2021

BUNGENI 27.05.2021


 

MKUU WA MKOA WA DODOMA, MHE. MTAKA AFIKA OFISINI KWA SPIKA NDUGAI KUJITAMBULISHA

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai  akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Anthony Mtaka alipofika Ofisini kwake kujitambulisha Jijini Dodoma.

 

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai  akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Anthony Mtaka alipofika Ofisini kwake kujitambulisha Jijini Dodoma.

 

Spika wa Bunge akiongoza kikao baina ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka na Wabunge  wa Mkoa wa Dodoma Ofisini kwake Jijini Dodoma.


 

Tuesday, May 25, 2021

BUNGE LA 12 MKUTANO WA TATU KIKAO CHA 36 TAREHE 25.05.2021


 

KAMATI YA ARDHI, MALIASILI NA UTALII YAPEWA MAFUNZO JUU YA MASUALA YA UMILIKI WA ARDHI

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii Mhe. Aloyce Kwezi akichangia jambo kwenye Mafunzo juu ya mtazamo wa kijinsia katika umiliki wa ardhi hapa nchini yaliyotolewa kwa Wajumbe wa Kamati hiyo kwa ushirikiano baina ya TGNP, WFT na HakiArdhi Jijini Dodoma. 

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii Mhe. Wakifuatilia jambo kwenye Mafunzo juu ya mtazamo wa kijinsia katika umiliki wa ardhi hapa nchini yaliyotolewa kwa Wajumbe wa Kamati hiyo kwa ushirikiano baina ya TGNP, WFT na HakiArdhi Jijini Dodoma.  

Afisa Mwandamizi wa Program kutoka  TGNP Bi. Anna Sangai(katikati)akifafanua jambo kwenye Mafunzo juu ya mtazamo wa kijinsia katika umiliki wa ardhi hapa nchini yaliyotolewa kwa Wajumbe wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii kwa ushirikiano baina ya TGNP, WFT na HakiArdhi Jijini Dodoma.