WELCOME TO TANZANIA NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL BLOG: CONTACT US: P.O.BOX 941 DODOMA, TANZANIA, WEBSITE: parliament.go.tz , FIND US ON FACEBOOK >>> www.facebook.com/bungetz1, FOLLOW US ON TWITTER >>> @bunge_tz.>>>KARIBUNI

Monday, May 31, 2021

ALYEKUWA KATIBU WA BUNGE ALIPOTEMBELEA BUNGE NA KUKABIDHI OFISI KWA KATIBU MPYA

Aliyekuwa Katibu wa Bunge, Ndg. Stephen Kagaigai (kushoto) akabidhi Ofisi kwa Katibu Mpya wa Bunge, Ndg. Nenelwa Mwihambi tukio lililofanyika leo katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma.

Aliyekuwa Katibu wa Bunge, Bw. Stephen Kagaigai ambaye aliteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro pamoja na Katibu Mpya wa Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi walipotambulishwa Bungeni. 

Aliyekuwa Katibu wa Bunge, Bw. Stephen Kagaigai ambaye aliteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro pamoja na Katibu Mpya wa Bunge, Bi. Nenelwa Mwihambi walipotambulishwa Bungeni. 

Aliyekuwa Katibu wa Bunge, Bw. Stephen Kagaigai akizungumza na Menejimenti ya Ofisi ya Bunge mara baada ya kukabidhi Ofisi kwa Katibu Mpya, Bi. Nenelwa Mwihambi Jijini Dodoma.


 

Aliyekuwa Katibu wa Bunge, Bw. Stephen Kagaigai na Katibu Mpya, Bi. Nenelwa Mwihambi katika picha ya pamoja na na Menejimenti ya Ofisi ya Bunge mara baada ya makabidhiano ya Ofisi Jijini Dodoma.

SPIKA WA BUNGE MHE. JOB NDUGAI AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA BALOZI WA CHINA NCHINI

Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akizungumza na ugeni kutoka Ubalozi wa China nchini (kushoto kwake) ukiongozwa na Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Wang Ke (wa kwanza kushoto kwake) walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kulia kwake ni Naibu Spika wa Bunge, Dkt.Tulia Ackson


Spika wa Bunge, Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Wang Ke alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. 

Spika wa Bunge, Job Ndugai (katikati) katika picha ya pamoja na Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Wang Ke (kulia) na Naibu Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. 

 

BUNGE LA 12 MKUTANO WA TATU KIKAO CHA 40 TAREHE 31.05.2021